Friday 11 May 2012

HAPPY AT EMILLYS BAR

 happy
 jessica hapo kati na ndugu yake emilly

 emilly
wapendwa mnakalibishwa sana kwenye bar mpya ya emilly iko maeneo ya namanga, siku ya ijumaa na juma mosi wana piga miziki ya; bob marley; legend wote mnakalibishwa. nilitoka na marafiki zangu sio siri tulienjoy sana, pia ukienda unajuana na watu!

No comments: