Saturday 7 April 2012

JAMANI! KANUMBA AMEFARIKI JANA USIKU

 mdogo wake kanumba akiojiwa nini chazo cha kifo cha marehemu, jamani inasikitisha sana!
 picha ya marehemu

 inasemekana chazo ni huyu lulu, alienda kwa kanumba wakapanga watoke out basi kanumba akaingia kuoga akajiandaa; akatoka chumbani akamkuta lulu anaongea na simu na mwanaume mwingine basi ugomvi ukanzia hapo! lulu akamsukuma kanumba akapigiza kisogo aka dondoka chini lulu akaenda kuita darkitari. kwa sasa lulu yuko polisi osterbay kwa ajili ya maojiano na polisi.
 jamani watu wanazimia kama mnavyo ona hapa

No comments: