Saturday 29 October 2011

HAPPY BIRTHDAY TO ME!!!!!

namshukuru bwana muumba wa mbingu na nchi kwa kuniwezesha kuwa hai mpaka dakika hii, huwesi amini sijawahi kusherekea birthday yangu hata siku moja! kwanza huwa zina nipita alafu nakuja kukumbuka baada ya mwezi!! napenda niendelee hivyo hivyo kutokumbuka kwasababu hata nikisema ni party sijui nini? nisawa na bure kwasababu sijawahi kusherekea toka nizaliwe! mhimu ni kwamba mshukuru bwana siku zote na saa yoyote.

Learn how to get beautiful, healthy skin. Tips for black women on skin care.

You desire it and wonder how you can get it. What is it? Beautiful skin. Is it perfect? Not likely, because models and celebrities have an arsenal of beauty weapons the average woman doesn't have access to: professional makeup artists, exclusive cosmetics, and airbrushing among them.

While perfect skin is usually the hallmark of babies and retouched photographs, beautiful, healthy skin is within your grasp. For black women, a smooth, even complexion is attainable with proper care.

Beautiful skin often begins inside and radiates outward. A healthy diet is vital. This means eating good-for-you foods and saving indulgent treats for special occasions. Fruits and vegetables should make up a large portion of your daily intake. Fatty, fried foods should be kept to a minimum. Instead, bake, sauté (in olive oil or oily sprays), or broil your food.

Also, the importance of water cannot be overemphasized. Drink at least the recommended eight cups a day and compensate for alcoholic and caffeinated beverages with more wate, kwa maelezo zaidi bonyeza kenye hizo alama za blue.

Friday 28 October 2011

HIVI KWELI HII NI AKILI AU? HIZI SANAMU ZIMEWEKWA KWENYE MOJA YA PARK UKO KOLEA! SIJUI WATU WANAFIKILIA NINI MPAKA KUWEKA VITU KAMA HIVI?





hizi picha nimezitoa  kwa lady jay dee, yaani nilivyo ziona  nilpatwa na mshangao! nafikili hiyo park inaluhusiwa kenda mtu akiwa ana miaka 18 nakuendelea. sijui hao watu wakolea wanafikilia nini? au ndo siku za mwisho zina fika? my opinion

Tuesday 25 October 2011

Victoria Beckham's fashion line makes '£15 million in 3 months'

                                    victoria beckham`s anatalajia kuingiza kiasi cha £60 million,
                                     mwishoni wa mwaka huu. mambo yake ya fashion yamekua,
                                      yakimuendea vizuri mwana dada huyu.
      

Monday 24 October 2011

WAHI TICKET YAKO SASA: ZIMEBAKIA SIKU 5 TU......

DAY OUT MIE NA WIFI YANGU

LOOK OF THE DAY

                                                                             kiki
                                   
                                           i love kiki`s dress code: tu viatu uto tutamu eeeeee?

Thursday 20 October 2011

HAPPY IN LONDON

                                                         on my way to london....!


                                          kla kitu kapaka blue yani mpaka tosha!!




                                                                              kit car
                                      queen elizabeth her home, kila geti ni gold tupu!!

Tuesday 18 October 2011

TUKO BUSY NA GUITAR!

                                                                 wifi yangu
                                                         
                                                                     
                                                                            
                                    happy: hili guitar hapo juu lina dhamani ya dola elfu tano! hapo ndipo,
                                    nilipochoka kabisaaaaaaa!

Monday 17 October 2011

CHRISTMAS YA MWAKA..........!




                                                         happy /@ seacliffe


                                                              christmas dinner

Saturday 15 October 2011

AMBER ROSE IN PRINT DRESS BY GHANAIAN DESIGNERS


 nilifurahi kumuona amevaa nguo za kiafrica zilizo dizainiwa na waghana, alienda ghana kwajili  ya vodafone 020 live concert. nguo za vitenge sasa ziko juuuuuuuuuuuuuuu
                                 

Monday 10 October 2011

JOSE MARA AKIWA NA HAO WATOTO HAPO: SO WHO DO YOU THINK IS A REAL COOL DUDE.....?

                          cool dude guys, hii picha ina nikumbusha sengelema mwanza!!
                          mie nafikili wote wako cool. je nyie mnasemaje?
 

WE MISS YOU MICHELLE


                                  jamani tumewa miss mpaka basi, njooni joshua apate mtu wa
                                  kucheza nae. na baridi la uk ndo limeanza!

BIBI BABU NA MJUKUU




                                bibi na babu yake baby j wako busy wenyewe kufundishana,
                               na mjukuu wao. huwa wakija kutusalimia some time na wapikia chakula
                               cha kiswahili wanapenda!!!
 
                         

Sunday 9 October 2011

Saturday 8 October 2011

                                               BEAUTY TIP OF THE DAY
                          siri ya ngozi yako nikuiyelewa mwenyewe langi ya ngazi yako.
                          ni mhimu kuiyelewa ngozi yako.
                          chagua ubora wa shades ili kuiboresha ngozi yako.black skin care
                          nilahisi kufatilia aina zingine za skin care, ambayo inaweza kukufaa.
                          katika ngozi yako kama vile makeup.

Friday 7 October 2011

HAPPY BIRTHDAY JAKAYA KIKWETE

                                      bwana muumba wa mbingu na nchi. akulefushie maisha,
                                      malefu yenye baraka tele amen.

Wednesday 5 October 2011

nicole scherzinger performs in tribal......

                    i love the print minidress looking...what do you guys think cute or clutter?
                                                          hilo pozi how sweet?
                                           look closer below her nails

                                 nahisi nikipaka hii langi nitachekeshaje? lakini yeye kapendeza
                                 mpaka basi.