Friday 30 September 2011
Thursday 29 September 2011
Wednesday 28 September 2011
Monday 26 September 2011
kuweni makini mnao nunua nyumba au viwanja!!!
Tangazo hili halina tofauti yo yote na yale tunayoyasoma katika "Sell & Buy", "Advertise DAR" au booklets zingine zinazotangaza biashara. Watanzania inabidi tuwe wabunifu wa "kuonyesha na kuiuza expertise" yetu tuliyonayo kwa kina zaidi na bayana. Maelezo hayo yoote yangetosheleza iwapo ExpertBroker angeandika ktk website yake yenye picha, maelezo ya nyumba/viwanja, locations, bei zake na contacts (simu/email).
Pia umefikia wakati muafaka wa Estate/Property owners and Agents KUJENGA NYUMBA kisha kuziuza ama kuzipangisha/kuziuza (purchase-tenant schemes) kama vile yanavyofanya makampuni/mashirika ya Kenya (HFCK, Nairobi City Council, n.k.). Ununuzi wa viwanja, kupata hati na usimamizi wa ujenzi hapa Nchini ni usumbufu mkubwa na umejaa ufisadi kiasi cha kukatisha tamaa sisi wajenzi wadogo. Hebu jaribu kubadili tangazo lako na utupatie "mtandao wenye hadhi ya kitaalam" pamoja na templates za application forms, etc. ili tunaohitaji viwanja/nyumba tuanze kuchangamkia mara moja
Pia umefikia wakati muafaka wa Estate/Property owners and Agents KUJENGA NYUMBA kisha kuziuza ama kuzipangisha/kuziuza (purchase-tenant schemes) kama vile yanavyofanya makampuni/mashirika ya Kenya (HFCK, Nairobi City Council, n.k.). Ununuzi wa viwanja, kupata hati na usimamizi wa ujenzi hapa Nchini ni usumbufu mkubwa na umejaa ufisadi kiasi cha kukatisha tamaa sisi wajenzi wadogo. Hebu jaribu kubadili tangazo lako na utupatie "mtandao wenye hadhi ya kitaalam" pamoja na templates za application forms, etc. ili tunaohitaji viwanja/nyumba tuanze kuchangamkia mara moja
Sunday 25 September 2011
Thursday 22 September 2011
Tuesday 20 September 2011
fashion week
although we know winter isnt`t quite here yet and we`re all still shopping the trends for the current season
it helps a fashionistas to get a sneak peek!
it helps a fashionistas to get a sneak peek!
Monday 19 September 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)