Thursday 15 December 2011

HAPPY IN TZ


hi guys i just  wanna sey,, nilivyo fika tz ni lifurahi sana, nilipamiss mno  tz!! kila mtu huwa ana nishangaa sana ninavyosema sipapendi uk! nakweli sipapendi, some time watu wana niuliza utamiss nini uk? na mimi na wajibu nitamiss shopping !! kwa sababu sioni kitu kingine cha ku kimiss lol!!



ndiyo nilienda salon!!
how do i look?!!

No comments: