Friday 28 October 2011

HIVI KWELI HII NI AKILI AU? HIZI SANAMU ZIMEWEKWA KWENYE MOJA YA PARK UKO KOLEA! SIJUI WATU WANAFIKILIA NINI MPAKA KUWEKA VITU KAMA HIVI?





hizi picha nimezitoa  kwa lady jay dee, yaani nilivyo ziona  nilpatwa na mshangao! nafikili hiyo park inaluhusiwa kenda mtu akiwa ana miaka 18 nakuendelea. sijui hao watu wakolea wanafikilia nini? au ndo siku za mwisho zina fika? my opinion

No comments: