
Pia umefikia wakati muafaka wa Estate/Property owners and Agents KUJENGA NYUMBA kisha kuziuza ama kuzipangisha/kuziuza (purchase-tenant schemes) kama vile yanavyofanya makampuni/mashirika ya Kenya (HFCK, Nairobi City Council, n.k.). Ununuzi wa viwanja, kupata hati na usimamizi wa ujenzi hapa Nchini ni usumbufu mkubwa na umejaa ufisadi kiasi cha kukatisha tamaa sisi wajenzi wadogo. Hebu jaribu kubadili tangazo lako na utupatie "mtandao wenye hadhi ya kitaalam" pamoja na templates za application forms, etc. ili tunaohitaji viwanja/nyumba tuanze kuchangamkia mara moja
No comments:
Post a Comment